Frank akaagiza ugali kwa kuku. Menyu ilipofika kwangu nikachagua pilau ya kuku na bilauli ya juisi.
“Natoka kazini.” Frank akaniambia mara tu mhudumu alipoondoka. Akaongeza.
Frank akaagiza ugali kwa kuku. Menyu ilipofika kwangu nikachagua pilau ya kuku na bilauli ya juisi.
“Natoka kazini.” Frank akaniambia mara tu mhudumu alipoondoka. Akaongeza.