DC MOSHI ATANGAZA SIKU 21 ZA OPERESHENI TOKOMEZA GONGO..

 

NA WILLIUM PAUL, MOSHI. 

MKUU wa Wilaya ya Moshi Zephania  Sumaye ametangaza siku 21 za moto za Oparation ya kukamata mitambo yote inayotengenzea pombe haramu ya gongo katika Wilaya hiyo.

Akizungumza katika baraza la Madiwani la Halmashauri ya Moshi Sumaye amesema vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa wameharibikiwa kutokana na unywaji wa pombe kupita kiasi.

Amesema kufuatia changamoto hiyo ametuma timu ambayo itafanya operation hiyo huku akiwataka madiwani kuunga mkono jitihada hizo za  kudhibiti unywaji wa pombe kupita kiasi kwa vijan

 

Related Posts