Habari ETDCO yashiriki Maadhimisho ya Siku ya wanawake duniani March 9, 2025 Admin Wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme ( ETDCO) wameshiriki sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani zilizofanyika Kitaifa jijini Arusha. Related Posts Habari Moto wateketeza vibanda 30 vya wafanyabiashara wa mbao Mwanza March 17, 2025 Admin Habari Askofu Shoo ataka mambo mawili uchaguzi mkuu March 17, 2025 Admin