Habari ETDCO yashiriki Maadhimisho ya Siku ya wanawake duniani March 9, 2025 Admin Wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme ( ETDCO) wameshiriki sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani zilizofanyika Kitaifa jijini Arusha. Related Posts Habari Mawakili wakwamisha kesi jaribio la kutekwa Tarimo, hakimu aonya March 17, 2025 Admin Habari Polisi Dar yaahidi kumnasa anayedaiwa kumuua mkewe March 17, 2025 Admin