TANZANIA INATARAJIA KUPOKEA DOLA MILIONI 74 KUTOKA IFAD

 

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban, akizungumza wakati alipokukutana na kufanya mazunguzo na Mkurugenzi Mkazi Mpya wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bw. Sakphouseth Meng ambaye alifika Wizarani hapo kujitambulisha, jijini Dodoma.Mkurugenzi Mkazi Mpya wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bw. Sakphouseth Meng, akizungumza wakati alipokutana na kufanya mazunguzo na Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban, jijini Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban, akiongoza kikao kati yake na Mkurugenzi Mkazi Mpya wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bw. Sakphouseth Meng, ambaye alifika Wizarani hapo kujitambulisha, jijini Dodoma.Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban, akiagana na Mkurugenzi Mkazi Mpya wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bw. Sakphouseth Meng ambaye alifika Wizarani hapo kujitambulisha, jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban na Mkurugenzi Mkazi Mpya wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bw. Sakphouseth Meng, wakiongoza ujumbe wa Tanzania na IFAD baada ya kikao ambacho Mkurugenzi huyo alikwenda kujitambulisha, jijini Dodoma. 

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha – Dodoma)

 

Related Posts