Shambulio hilo kwa moja ya hospitali za mwisho za kazi katika eneo hilo zilizidisha zaidi shida ya kibinadamu inayoendelea na Vita vya wenyewe kwa wenyewe
Day: March 22, 2025

Dodoma. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ametuma ujumbe kwa wanachama wasio waadilifu ndani ya chama hicho, akisema wanaendelea kuwaandaa watu

Bukoba. Katika kukabiliana na uhaba wa ajira Tanzania, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) -Bara, Stephen Wasira amesema chama hicho kitakuja na ilani bunifu
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Suleimani Jafo, amezitaka taasisi zote za serikali zinazohusika na ulinzi wa mlaji kufanya kazi kwa pamoja ili kuhakikisha haki

Mwenyekiti wa Taasisi ya Ramadhan Charity Program 2025 Ahmed Misanga Amesema huu ni mwaka wa 8 wakitoa Sadaka ya Iftar kwa makundi mbalimbali

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza majina ya waliochaguliwa kufanya usaili wa nafasi mbalimbali za kazi zilizotangwa kuanzia Februari 6 hadi 19 mwaka huu.

Dar es Salaam. Wakati uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura mkoani Dar es Salaam ukihitimishwa kesho Machi 23, 2025, baadhi ya wananchi wameibua changamoto

• Mpango wa siku 60 wenye mkondo wa ubunifu na matukio ya kiteknolojia za kidigitali• Mada zinajumuisha uzoefu wa wateja, utambulisho wa kidijitali, na bidhaa

Na Belinda Joseph, Songea Ruvuma. Wakazi elfu 5883 wa maeneo ya Sinai na Londoni Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma ambao wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeondoa hitajio la visa kwa raia