***** Taasisi ya Huduma yangu Faoundation imeaanda Bodoboda Bajaj Summit kongamano lengo la kukutanisha wadau wa usafiri kutoa serikali na sekta ya binafsi kujadili kwa
Day: April 8, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Ismahane Elouafi, Cgiar na Nairobi Chef Kiran Jethwa katika majadiliano wakati wa chakula kizuri cha chakula cha mchana katika Wiki ya Sayansi

MWENYEKITI WA CHADEMA MWANGA AOMBA MSAJILI KUTENGUA MAAMUZI YA BARAZA KUU, AKIDAI KASORO ZA KIKATIBA
***** Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Wilaya ya Mwanga Lembrus Mchome amesema amemuomba Msajili wa vyama vya siasa kutengua maamuzi ya Baraza Kuu

*********** Na Mwandishi wetu – Singida Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea kuimarisha Sekta ya Utalii, kwa kuweka mikakati mbalimbali ya kuchechemua ongezeko la watalii

Simiyu. Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Simiyu kimeeleza kutoridhishwa na kasi ya ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) kinachojengwa katika Wilaya ya Busega

Tabora. Watumishi wa taasisi zinazohusika na ununuzi wa umma wametakiwa kufanya kazi kwa weledi badala ya kukwamisha kazi kwa visingizio visivyo na tija kama vile

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ametaja mambo sita ambayo yakifanyiwa kazi chama hicho kitashiriki Uchaguzi Mkuu baadaye

***** Naibu katibu Mkuu – Utawala, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Bw, Khalid Waziri akizungumza katika kikao kazi kati ya TEA na wizara

Kadiri Kusini mwa Global inavyofikia juu ya viwango vya usalama wa chakula na lishe, wataalam wanasema sayansi itageuza hali ya umaskini uliokithiri na njaa. Mikopo: