VYAMA VYA SIASA, SERIKALI NA TUME YA UCHAGUZI WASAINI MAADILI YA UCHAGUZI


Ameongeza kuwa Serikali kwa
upande wake ina wajibu wa kutoa fursa sawa ya vyama vya siasa kufanya kampeni,
kutumia vyombo vya habari vya umma na kuhakikisha kuwa kunakuwepo na hali ya
utulivu na amani.

 

Kwa upande wa Tume, Kailima
amesema inawajibika kwenye mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha uchaguzi
unakuwa wa huru na wa haki na kuhakikisha kunakuwa na usawa katika mchakato wa
uchaguzi.

 

Amesisitiza kuwa chama ambacho
hakijasaini maadili hayo hakitopata fursa ya kushiriki kwenye uchaguzi mkuu na
chaguzi ndogo nyingine zote zitakazofanyika kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Katibu Mkuu wa Chama cha AAFP, Ndg. Rashid Mohamed Ligania Rai akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Ndg. Ado Shaibu  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha ADA-TADEA, Ndg.Selemani Mohamed Msumari  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha ADC, Ndg Mwalimu Hamad Aziz  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha CCK, Ndg. Masoud Ali Abdallah  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha CCM, Balozi Dkt. John Nchimbi  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha CHAUMA, Ndg. Mohamed Masoud Rashid  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha CUF, Ndg. Husna Mohamed Abdallah  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha MAKINI, Ameir Hassan Ameir  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha DP, Ndg. Abdul Juma Mluya  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR – MAGEUZI, Ndg. Evelyn Munisi  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha NRA, Ndg. Hassan Almas  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha SAU, Ndg. Majalio Paul Kyara  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha TLP, Ndg. Yustus Rwamgila  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha UDP, Ndg. Saum H. Rashid  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha UMD, Ndg. Moshi Rashid Kigundula  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha UPDP, Ndg. Hamadi Mohamed Ibrahim  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Related Posts