Dar es Salaam. Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), kwa kushirikiana na Crown Media imezindua jukwaa la tano la The Citizen Rising Woman Initiative 2025.
Year: 2025

Rorya. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amewataka wavuvi wa Ziwa Victoria kuchukua tahadhari kwa kutofika kwenye mipaka ya nchi

Dodoma. Hatimaye Serikali imesikia kilio cha wafanyabiashara walioko katika Mfumo wa Stakabadhi za Ghala, kwa kuagiza kufanyika mapitio ya viwango na miongozo yote inayohusiana na

Unguja. Wasafirishaji wa mifugo ya ng’ombe na mbuzi kisiwani hapa wameeleza changamoto zinazowakumba na kushindwa kusafirisha mifugo yao ikiwemo vibali na wataalamu wa kupima afya

MWANGA katikati ya giza nene uliangazia ulimwengu Mwaka 1995,wakati ambao Mwanamke alionekana kutoweza kufanya jambo lolote bila Mwanaume, Mkutano wa Beijing-China uliibua mwongozo wa kurasa

Na Mwandishi Wetu Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Stephen Wasira, amewahakikishia wananchi mkoani Mara kuwa Chama kitaendelea kuzibeba changamoto zinazowakabili na kuendelea kuzitafutia ufumbuzi.

Dar es Salaam. Swali vichwani mwa wafuatiliaji masuala ya siasa, amani na usalama ni je, wakuu wa nchi wanaokutana kesho Jumamosi Februari 8, 2025 jijini

NA Mwandiahi wetu KATIBU wa siasa na uenezi na Mafunzo chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Bagamoyo,Ramadhani Lukanga anatarajia kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa

Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Kama sehemu ya mageuzi yanayolenga kuongeza ufanisi wa taasisi za umma zenye mrengo wa kibiashara na za kimkakati,

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewahimiza wafanyabiashara kujiandaa na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa kufanya biashara kwa uadilifu na pia wawe na huruma