BEKI wa Simba, Che Malone Fondoh, amezua jambo klabuni Msimbazi ambako mabosi wa klabu hiyo wamegawanyika pande mbili kuhusu ishu yake. Staa huyo raia wa
Year: 2025

AS Vita ya DR Congo imeendelea na operesheni ya kukusanya mastaa kutoka Bara baada ya kumnasa winga wa zamani wa Coastal Union, Dennis Modzaka. Timu

KIKOSI cha Azam FC kimeanza mazoezi mapema wiki hii, ili kuijiandaa na lala salama ya Ligi Kuu Bara, huku kocha wa timu hiyo, Rachid Taoussi

KOCHA mpya wa Fountain Gate, Mkenya Robert Matano amewaahidi mashabiki na viongozi kutegemea mambo makubwa ndani ya timu hiyo, huku jambo kubwa analotaka ni sapoti

Lindi. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Serikali imeanza kutoa fedha kwa ajili ya kukamilisha miradi ya ujenzi wa barabara, hivyo hakutakuwa na kisingizio kwa

Njombe. Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka amesema ujenzi wa kiwanda cha kuchakata parachichi mkoani mwake, ni mkombozi mkubwa kwa wakulima kwani tofauti na

Arusha. Familia ya watu sita wilayani Monduli, mkoani Arusha kwa siku nne imelala nje, baada ya nyumba zao kuchomwa moto na wanaodaiwa kuwa maofisa maliasili.

Moto mkubwa unaendelea kuteketeza maeneo mbalimbali ya Los Angeles, huku juhudi za kikosi cha zimamoto zikiendelea kudhibiti hali hiyo maeneo ya milima

Siku ya Alhamisi, ni harakati 10 tu kati ya 21 zilizopangwa za kibinadamu ziliwezeshwa na mamlaka ya Israeli. Saba walinyimwa moja kwa moja, watatu walizuiliwa

Same. Mawasiliano barabara kuu ya Same -Mkomazi, wilayani Same yamerejea baada ya ujenzi wa Daraja la Mpirani kukamilika. Daraja hilo ambalo lipo Kata ya Maore,