UPEPO umebadilika! Ndio, kiungo Yusuf Kagoma amejipatia umaarufu baada ya wababe wa Kariakoo, Simba na Yanga kumnyatia na mmoja kati yao kuwa na kisu kikali na kuinasa saini yake akitokea Singida Fountain Gate.

UPEPO umebadilika! Ndio, kiungo Yusuf Kagoma amejipatia umaarufu baada ya wababe wa Kariakoo, Simba na Yanga kumnyatia na mmoja kati yao kuwa na kisu kikali na kuinasa saini yake akitokea Singida Fountain Gate.