Mwandishi wa Global TV Ampiga Swali Gumu Msigwa, Sikiliza majibu! – Video – Global Publishers



Mwandishi wa habari na mtangazaji Joel Thomas wa Global TV akimuuliza maswali Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa (hayupo pichani)

Mwandishi wa habari na mtangazaji Joel Thomas wa Global TV, amepata nafasi ya kumuuliza maswali Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ambapo amemtwanga maswali mawili mazito, moja likiwa ni kuhusu hatma ya mechi kati ya Simba na Al Masr ambayo ilitangazwa kwamba haitachezwa kwa Mkapa kwa sababu uwanja huo umefungiwa.

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa

 











Related Posts