BAO la kichwa dakika ya 34 likifungwa na kiungo Pacome Zouzoua, limetosha kuipa Yanga ushindi wa 1-0 dhidi ya Coastal Union ikiendelea kujichimbia juu ya msimamo wa Ligi Kuu Bara huku kiungo huyo akiweka rekodi mpya.

BAO la kichwa dakika ya 34 likifungwa na kiungo Pacome Zouzoua, limetosha kuipa Yanga ushindi wa 1-0 dhidi ya Coastal Union ikiendelea kujichimbia juu ya msimamo wa Ligi Kuu Bara huku kiungo huyo akiweka rekodi mpya.