Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema katika kipindi cha Julai 2023 hadi Aprili 2024, wizara hiyo iliratibu ziara
Author: Admin

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Bw. Isaya Mbenje, akizungumza na Timu ya Wataalamu ya Wizara ya Fedha (haipo pichani) ambayo ilifika ofisini kwake

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo Afrika Mashariki, Bi. Vivienne Yeda (hayupo pichani), walipokutana

Mei 29, 2024 wananchi wa Afrika Kusini watapiga kura katika uchaguzi mkuu wa saba wa kidemokrasia wa nchi hiyo, tangu ubaguzi wa rangi ulipoisha mwaka

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameipa timu hiyo mtihani mzito baada ya kupokea ofa kutoka timu tatu tofauti. Gamondi aliyesaini mkataba wa mwaka mmoja

SIMBA imeingia anga za Azam FC, kuwania saini ya beki wa Yanga, Kibwana Shomari anayemaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu na bado klabu yake

Vikao hivyo vitakavyofanyika hadi Alhamisi wiki hii, vitachunguza madai ya ukiukaji wa haki za binadamu, ikiwa ni pamoja na mateso, kuwekwa kizuizini kinyume cha sheria

Dodoma. Serikali kwa mwaka wa fedha ujao, umepanga kujenga majengo ya kiuchumi katika majiji ya Kinshasa (DRC- ghorofa 25) na Nairobi (Kenya- ghorofa 22). Picha

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewatoa hofu Wananchi wa mkoa wa Dar es salaam wanaotumia usafiri wa vivuko eneo la Kigamboni -Magogoni juu ya taharuki

WAKATI msafara wa maofisa wa Yanga ukijipanga kurudi tena kwa klabu ya TP Mazembe kuendeleza ushirikiano wao, ndani ya klabu hiyo bingwa wa DR Congo