Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), kushirikiana na Bodi ya Usajili wa Wakandarasi (CRB) pamoja na Bodi ya Usajili wa
Author: Admin

Dodoma. Mafundi sanifu nchini wameiomba Serikali kuitambua kada hiyo kwenye ngazi ya shahada za uzamili na uzamivu wakieleza wanalazimika kubadilisha fani kwenda kwenye uhandisi ili

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Ziwa limeteketeza tani saba ya bidhaa zisizokidhi matakwa ya viwango ikiwemo vipodozi vyenye viambata sumu, maziwa ya watoto

MUUNGANO kati ya Tanganyika na Zanzibar uliotimiza miaka 60 tangu kuundwa kwake, tarehe 26 Aprili 1964, umekumbana na changamoto nyingi na mafanikio mbalimbali. Anaandika Alfred

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Serikali imeombwa kushirikiana na taasisi zisizo za kiserikali kuhamasisha elimu ya teknolojia ya kidigiti kuanzia ngazi ya chini. Ombi hilo

Mbeya. Halmashauri ya Jiji la Mbeya limeiagiza Kampuni ya Cico kuwaondoa maneja mradi, Penfeng Wang na Mkandarasi Mshauri, Jofrey Kanjanja kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof. Mohamed Janabi amesema Muhimbili itaendelea kuwajengea uwezo wataalam wake kwakuwa malengo yaliyopo kwa sasa ni kuifanya

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kwahani, Bi. Safia Iddi Muhammad akibandika fomu za uteuzi za wagombea 14 kutoka vyama vya siasa vyenye usajili kamili walioteuliwa

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ametoa wito kwa makatibu mahsusi nchini kujiendeleza kitaaluma ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia sambamba

Na Mwandishi Wetu, Arusha Wadau wa Sekta ya Madini nchini wametakiwa kusoma na kuelewa mikataba mbalimbali wanayopewa katika makubaliano kabla ya kuisaini hususani katika taasisi