Lushoto. Uongozi wa Shirika la Roho Mtakatifu la Kanisa katoliki, umesema utakabidhi mwili wa Frateri Rogassion Massawe kwa ndugu zake Ijumaa Mei 24, 2024 baada ya
Author: Admin

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya CRDB Insurance, Wilson Mnzava akibadilishana hati ya makubaliano na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya ACRE Africa, Ewan Wheeler, katika hafla

Ndege iliyombeba Rais Macron iliondoka mjini Paris mapema leo na inatarajiwa kuwasili New Caledonia kesho Alhamisi huku kiongozi huyo akitumai ziara yake inaweza kusaidia kutuliza

Dar es Salaam. Familia maskini ambazo hazikupata nafasi ya kuingia katika mpango wa kuwezesha kaya hizo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), sasa zitawezeshwa
Na Emmanuel Masaka, Michuzi TV MWENYEKITI wa Serikali za Mtaa Mbopo wilayani Kinondoni mkoani Dar es Salaam Mohamed Bushir amempongeza Rais Dk Samia Suluhu Hassan

MKUU wa mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo kwa kushirikiana na kamati ya usalama ya mkoa, ametangaza vita kwa watu wanaoendekeza vitendo vya ubakaji na ukatili

Mkuu wa programu ya dharura yashirika la Madaktari wasio na mipakanchini Sudan, Claire Nicolet, amesema siku ya Jumatatu pekee waathiriwa tisa kati ya 60 waliopokelewa

Liwale. Mawasiliano yaliyokatika kati ya wilaya za Kilwa Masoko na Liwale mkoani Lindi yamerejeshwa baada ya ukarabati wa daraja la muda katika Mto Zinga. Kukatika

KUZAMA KWA MV. BUKOBA KULITOKANA NA MELI KUKOSA USTAHIMILIVU NA KULALA UPANDE MMOJA- PROF. MUKANDALA
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV ALIYEKUWA Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Rwekaza Mukandala amesema kuzama kwa Mv. Bukoba kulitokana

Katika hotuba yake kwa taifa Jumanne jioni, Zelensky amesema vikosi vya nchi hiyo katika eneo la Kharkiv,vinaendelea kupata ufanisi dhidi ya adui lakini akaonya hali