Takriban Wapalestina 600,000 wamefurushwa kutoka mji wa kusini mwa Gaza, Rafah, tangu kuimarika kwa operesheni za kijeshi za Israel katika mji huo siku kumi zilizopita,
Author: Admin

HUU unaweza kuwa msimu mzuri wa soka kwa refa wa Tanzania mwenye beji ya Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Ahmed Arajiga kutokana na uzito wa

Misri imefanya jaribio la kwanza la matumizi ya teksi zinazotumia umeme katika Mji Mpya wa Utawala wa nchi hiyo, kwa lengo la kutoa chaguo la

Morogoro. Wakati Serikali ikipambana na vitendo vya ukekektaji nchini, baadhi ya jamii zinazoendeleza mila hizo zimekuja na mbinu mpya ya kutumia dawa aina ya Vicks,

BAADA ya kutoka sare ya bila kufungana na Coastal Union, haraka nikakimbilia msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ili nione Geita Gold iko nafasi ya

Mahakama kuu ya Umoja wa Mataifa imefungua siku mbili za kusikilizwa kwa ombi la Afrika Kusini la kusitisha mashambulizi ya kijeshi ya Israel katika mji

Mwenyekiti wa Chadema, Fremaan Mbowe amesema Tanzania haijanufaika na miaka 30 ya demokrasia kutokana na mifumo iliyopo kukinufaisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinachoamini fikra zake

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Bw. Charles Asiedu alipowasili katika kikao kilichoangazia ushirikiano kati

Arsenal wametoa jezi yao mpya ya nyumbani kwa msimu wa 2024/25 huku maandalizi ya kampeni mpya yakiendelea, hata kabla ya mwisho wa msimu huu. Jezi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango wameungana na Viongozi pamoja na Waumini