MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imesema katika mwaka 2024 kumekuwa na mafanikio makubwa ambayo yamewezesha pia thamani ya uwekezaji katika masoko ya
Category: Magazeti

Rais Yoweri Museveni ameweka wazi msimamo wake kuhusu utata unaozunguka kizuizini kwa Dk Kizza Besigye akisema kuwa swali sahihi siyo kwa nini Dk Besigye alipelekwa

LEO ni Siku ya Wapendanao; yaani Valentine’s Dar, ngoja nizungumzie ishu ya wapenzi kununuliana zawadi. Hapa sizungumzii zawadi ambazo wengi wetu tumekuwa tukinunuliana siku

Mwanza. Mwandishi wa Habari Mwandamizi na mtangazaji wa Kenya, Leonard Mambo Mbotela, amefariki dunia kwa maradhi yaliyokuwa yakimsumbua, tovuti ya Kenyans.co.ke imeripoti. Kifo cha Mbotela

Dar es Salaam. Watendaji wakuu wastaafu wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) wamemwelezea aliyekuwa kiongozi mkuu wa madhehebu ya Ismailia duniani, Mtukufu Aga Khan

Dar es Salaam. Kiongozi Mkuu wa 49 wa Madhehebu ya Shia Ismailia na mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN), Mtukufu Aga Khan,

Mwanza. Rais Samia Suluhu Hassan ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha Mtukufu Aga Khan, kiongozi wa madhehebu ya Ismailia duniani. Mtukufu Aga Khan anayefahamika

Alhamisi Januari 30, 2025 itakumbukwa kuwa siku iliyoacha huzuni kwa wanazuoni, masheikh, wanafunzi wa taaluma za dini ya Kiislamu na Waislamu wa Tanzania kwa kuondokewa

HATUA ya wachezaji watatu wa Singida Black Stars kutangazwa kupewa uraia wa Tanzania na kuthibitishwa na Idara ya Uhamiaji, imeibua mijadala kuanzia mtaani hadi katika

Dar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda ameeleza kukerwa na tetesi za mitandao ya jamii ilivyovumisha jina lake kuwa miongoni mwa wanaotajwa kuwa makamu