POINTI tano ilizovuna Namungo kupitia mechi tatu zilizopita za Ligi Kuu Bara, zimempa kiburi kocha mkuu wa timu hiyo, Juma Mgunda aliyesema licha ya kikosi
Category: Michezo

UONGOZI wa Transit Camp umefikia makubaliano na aliyekuwa Kocha wa Kipanga FC ya visiwani Zanzibar, Ramadhan Ahmada Idd, kukiongoza kikosi hicho kwa michezo iliyosalia, akichukua

ZIMESALIA mechi mbili kumalizika kwa Ligi ya Wanawake Saudia, lakini Mtanzania pekee, Clara Luvanga anayekipiga (Al Nassr) ameweka rekodi mbili msimu huu akiwa na kikosi

MSHAMBULIAJI wa Mashujaa, Jaffar Kibaya anayemiliki mabao matatu hadi sasa katika Ligi Kuu, ametoa hamasa kwa mastaa wenzake hususani wanaocheza eneo la ushambuliaji kutumia kwa

KATIKA kuhakikisha African Sports inakwepa janga la kushuka daraja, viongozi wa kikosi hicho wamefanya kikao cha kujadili mambo mbalimbali yanayoihusu, huku kubwa ni jinsi gani

ALLIANCE Girls ya mkoani Mwanza imesema haitaki mambo mengi Ligi Kuu ya Wanawake na inachokitaka ni kubaki tu msimu ujao. Msimu uliopita timu hiyo ilimaliza

KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, amewahimiza wakazi wa Ruangwa mkoani Lindi kuendelea kuiunga mkono

MWEZI mmoja kabla ya mkataba wake na Salford City ya England kutamatika mwezi ujao (Mei), beki wa kimataifa wa Tanzania, Haji Mnoga ameanza kuwachonganisha viongozi

KOCHA wa Biashara United, Omary Madenge amesema sare ya bao 1-1, iliyoipata kikosi hicho Aprili 9, dhidi ya Mbeya City kwenye Uwanja wa Karume Mara,

KAMA ulikuwa unajua bingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) amepatikana mapema basi mambo bado kabisa. Vita ya ubingwa kwa WPL iko kwa timu mbili