BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo ameshindwa kupanda ulingoni kutetea mkanda wa WBO Afrika kutokana aliyekuwa promota wa pambano hilo, Shomari Kimbau kumzingua
Category: Michezo

KATIKA kuhakikisha kila mmoja anafanya mambo kwa ufanisi ili kubeba ubingwa wa michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) kwa tahadhari kubwa ya mpinzani wake asiibe

UNGUJA. Yanga inafanya mambo kama ipo Ulaya vile. Leo hii imewaacha watu wengi midomo wazi baada ya kutambulisha kifaa kipya cha mazoezi kwa makipa wao wakiongozwa

MWISHO wa ubishi. Ndivyo unavyoweza kusema wakati Azam FC na Yanga zitakapovaana katika mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho. Mechi hiyo inatarajiwa kupigwa kesho

Baada ya kushuhudia Yanga ikichukua ubingwa wa Ligi Kuu Bara na sasa macho ya wapenda soka yapo visiwani Zanzibar kwenye fainali za Kombe la Shirikisho.

Kibaha. Zaidi ya wananchi 100 katika Kata ya Pangani Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani ,wamekosa makazi baada ya nyumba zao kubomolewa na

NI rasmi sasa kwamba beki Mkongomani Chadrack Boka ni mali ya Yanga. Mwanaspoti limejiridhisha kwamba staa huyo amesainishwa mkataba wa awali wa miaka miwili mjini

DURU za kispoti zimeliambia Mwanaspoti kwamba kuna fagio la chuma litaanza kupita Simba na Yanga kwenye kipindi kisichozidi wiki moja kuanzia leo. Ni fagio ambalo

MASHABIKI wa soka visiwani Zanzibar wana kiu ya kuona udambwidambwi wa Stephane Aziz KI, Pacome Zouzoua na Yao Kouassi wa Yanga pamoja na mziki mnene

UONGOZI wa Simba umefunguka namna nahodha wa zamani, John Bocco alivyokuwa na jukumu la kusaidia kutuliza migomo na kuongoza wachezaji wenzake nje na rekodi ya