Dar es Salaam. Mechi za mwisho za msimu wa Ligi Kuu Bara zinaendelea kwa sasa, kwa upande wao Yanga inaongoza mabao 2-1 yakifungwa na Aziz Ki.
Category: Michezo

LICHA ya Wilaya ya Ubungo kuanza vibaya baadhi ya michezo ikiwemo mpira wa mikono (handball) kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule

KAMATI ya mpito ya Kamisheni ya Kusimamia Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBRC) imesitisha pambano la kimataifa kati ya Mtanzania, Hassan Mwakinyo dhidi ya Mghana, Patrick

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameipa timu hiyo mtihani mzito baada ya kupokea ofa kutoka timu tatu tofauti. Gamondi aliyesaini mkataba wa mwaka mmoja

SIMBA imeingia anga za Azam FC, kuwania saini ya beki wa Yanga, Kibwana Shomari anayemaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu na bado klabu yake

WAKATI msafara wa maofisa wa Yanga ukijipanga kurudi tena kwa klabu ya TP Mazembe kuendeleza ushirikiano wao, ndani ya klabu hiyo bingwa wa DR Congo

UONGOZI wa Simba umeshindwa kumshawishi kocha wa makipa wa timu, Mhispania Daniel Cadena kuendelea kubaki baada ya kuandika barua ya kutimka Msimbazi. Cadena ambaye alitaja

MARA paap! Ligi imeisha. Timu zote 16 ziko viwanjani leo kuanzia saa 10:00 jioni huku asilimia kubwa zikiombeana dua mbaya. Lakini kuna bato nne za

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua, ameweka wazi kilichomuumiza na kumkwamisha msimu huu katika kupambana kufikia malengo aliyojiwekea. Muivory Coast huyo aliyejizolea umaarufu kwa mashabiki

KITENDO cha Simba kudondosha ubingwa mara tatu mfululizo kimemuibua staa wa zamani wa Yanga, Abeid Mziba kuhoji usajili unaofanywa na viongozi wa klabu hiyo una