Mdhamini mkuu wa Ligi Kuu ya NBC (NBC Premiere League), Benki ya NBC, imekabidhi kombe la ubingwa wa ligi hiyo kwa timu ya Yanga SC
Category: Michezo

WACHEZAJI wa gofu kutoka klabu mbalimbali nchini, wameanza kujinoa kwa ajili ya mashindano, yanayotarajia kufanyika Morogoro Gymkaha, kuanzia Juni 14 hadi 16. Mashindano hayo yapo

INAWEZEKANA hii ikawa ni mara yako ya kwanza kumsikia beki wa kulia wa Macarthur FC, Kealey Adamson anayecheza soka la kulipwa Australia. Kama ni hivyo

Kikosi cha Simba bado kipo jijini Arusha kwa ajili ya pambano la mwisho la Ligi Kuu Bara ili kujua hatma ya ushiriki wa timu hiyo katika

BAADHI ya wafanya biashara wa Machinga Complex na Kariakoo, wamesimamisha shughuli zao kwa muda wakishuhudia msafara wa Yanga ukipita, huku wanaoishabikia timu hiyo wakiamsha shangwe

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Rajab Abdul ‘Harmonize’ a.k.a Konde Boy au Jeshi amewapagawisha mashabiki kwa kuwaimba vionjo vya baadhio ya nyimbo zake

NANI anafuatilia maendeleo ya Azam FC? Najua sio watu wengi. Ni wachache sana. Kwanini? Kwa sababu sio timu inayopendwa sana. Mashabiki wengi wa soka nchini

RAISI wa Yanga, Injinia Hersi Said amewahakikishia mashabiki wa Yanga leo Jumapili kwenye sherehe za ubingwa za timu hiyo kuwa hakuna mchezaji muhimu hata mmoja

NAHODHA wa Yanga, Dickson Job amezungumza kwa niaba ya wachezaji wenzake, kuwashukuru mashabiki kwa sapoti yao, tangu msimu huu kuanza hadi kufanikiwa kuchukua ubingwa. Job

MSAFARA wa Paredi la Kibingwa la Yanga inayosherehekea ubingwa wa 30 katika Ligi Kuu Bara na wa misimu mitatu mfululizo haushi vituko, kwani mara ulipoibukia