Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi amepishana na adhabu ya kifungo baada ya kupigwa faini ya Sh2 milioni kwa kosa la kufanya vurugu ikiwemo kuwashambulia kwa
Category: Michezo

Bao la kichwa la dakika ya 50 lililofungwa na kiungo mshambuliaji Marouf Tchakei limetosha kuihakikishia Ihefu SC ushindi muhimu ugenini dhidi ya Tanzania Prisons kwenye

WAKATI Simba ikikosa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa tatu mfululizo, mshambuliaji wa zamani wa Simba, Athuman Machupa ameitaka usajili ujao kuongeza nguvu

AZAM FC imedhamiria kwa dhati kumrudisha aliyekuwa kipa namba moja wa kikosi hicho, Aishi Manula baada tu ya msimu huu kuisha. Taarifa kutoka ndani ya

SASA ni rasmi kwamba Yanga ni bingwa mpya wa Ligi Kuu Bara baada ya jana kuwachapa Mtibwa mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Manungu Turiani Mkoani

Si unafahamu Yanga SC inahitaji pointi nne pekee ili kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu? Sasa basi vigogo wa timu hiyo wametumia akili

FURAHA ya mashabiki wa Simba imerudi upya ndani ya kikosi hicho tangu alipokabidhiwa timu hiyo Kocha Mkuu, Juma Mgunda akichukua nafasi ya Mualgeria, Abdelhak Benchikha

SIMBA inahaha kumbakisha kipa wake namba moja, Ayoub Lakred ambaye anatingisha anataka kuondoka na kurejea Morocco lakini kukabiliana na presha hiyo, Wekundu hao wameanza mazungumzo

ALHAMISI nilikwenda uwanjani kutazama mechi ya Simba na Azam. Simba na Azam? hapana. Ni Azam na Simba. Azam walikuwa nyumbani siku hiyo. Siku hizi mechi

LICHA ya Mbeya kuendelea kuandika historia kwa kupandisha timu Ligi Kuu Bara miaka ya karibuni, sintofahamu imebaki jinsi Uwanja wa Sokoine uliopo mjini humo unavyokimbiwa.