Serikali imewapa changamoto wadau wa Sekta ya ununuzi wa umma kuhakikisha wanazingagtia misingi ya uadilifu, uaminifu na haki katika michakato ya ununuzi wa umma ili

Kampala. Spika wa Bunge la Uganda, Anita Among ni miongoni mwa vigogo watano nchini humo walipigwa marufuku kuingia nchini Marekani kwa madai ya kuhusika na

Na Oscar Assenga, TANGA SERIKALI imetangaza mkakati wa uboreshaji wa elimu nchini huku ikieleza walimu ambao wataajiriwa ni wale wataokuwa wamefanya mitihani yao na kufaulu

Everton haitazingatia mikataba yoyote ya bei iliyopunguzwa kwa Jarrad Branthwaite msimu huu wa joto. Iliripotiwa jana Manchester United wako katika nafasi nzuri ya kumfanya beki

Serikali inazidi kufanyia kazi maoni ya wadau wa elimu kwa lengo la kuboresha mfumo wa elimu nchini. Sasa imetangaza kuachana na mfumo wa kutahini somo

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Chande (Mb.) ameagiza Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) ihakikishe watu wanaofanyakazi za Ununuzi na Ugavi wamesajiliwa

Benjamin Sesko ‘amekubali’ uhamisho wa Arsenal msimu huu wa joto huku Gunners wakipanga kumnunua mshambuliaji wa RB Leipzig kwa pauni milioni 45. Mshambulizi wa RB

Dar es Salaam. Wakati wananchi wa Manyara wakilalamika kulipwa fidia ndogo waliyolipwa kupisha ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), Shirika la

Mkuu wa Wilaya ya Lushoto Japhari Kubecha akizungumza na Afisa Uhusiano Mwandamizi wa VETA Dora Tesha wakati alipotembelea Banda la VETA katika Maadhimisho ya Kitaifa

Kwa sasa, hakuna mpango wa kubadilishana unaoendelea kati ya Klabu ya Soka ya Chelsea na Napoli kwa kubadilishana Victor Osimhen na Romelu Lukaku. Kufikia sasa,