KATIKA mazingira ya kupendeza ya Mkoa wa Geita, iko habari njema yenye kutia matumaini kwa waliokata tamaa na pengine kutengwa na jamii. Shujaa wa habari

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua, ameweka wazi kilichomuumiza na kumkwamisha msimu huu katika kupambana kufikia malengo aliyojiwekea. Muivory Coast huyo aliyejizolea umaarufu kwa mashabiki

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi, ametembelea kiwanda cha kuzalisha sukari

Shirikisho la Soka Duniani, FIFA, na Shirikisho la Kandanda barani Ulaya, UEFA “walitumia vibaya nafasi zao kuu” na “kuzuia ushindani” kwa kukataa kuundwa kwa Ligi

Dar es Salaam. Safari ya Miaka 20 ya mburudishaji Carlos Bastos Mella ambaye yupo nyuma ya maeneo mengi ya burudani jijini Dar es Salaam, ameshauri

Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mwanza imeridhishwa na ukamilishwaji wa mradi wa maji wa Butimba na ufanisi wake.

KITENDO cha Simba kudondosha ubingwa mara tatu mfululizo kimemuibua staa wa zamani wa Yanga, Abeid Mziba kuhoji usajili unaofanywa na viongozi wa klabu hiyo una

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema Serikali inafanya mageuzi ya mfumo wa elimu ili kuendana na mahitaji
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Tanzania, Mhe. Prof. Adolf Mkenda Jumatatu ya tarehe 27.05.2024, Ametembelea Banda la Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar na

BAADA ya kujihakikishia kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao, Coastal Union imesema haitakubali kuondokewa kirahisi na nyota wake walioonyesha viwango bora, bali