Dar es Salaam. Ili kudhibiti kuenea kwa Ukimwi Tanzania wadau wa maendeleo na ustawi wa jamii, wamezindua kampeni ya kukusanya fedha kwa ajili ya kusaidia

Tanzania yaungana na nchi wanachama wa Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (WIPO) kupitisha na kusaini Mkataba wa kihistoria wa kimataifa kuhusu Miliki Ubunifu, Rasilimali za

BAADHI ya wafanya biashara wa Machinga Complex na Kariakoo, wamesimamisha shughuli zao kwa muda wakishuhudia msafara wa Yanga ukipita, huku wanaoishabikia timu hiyo wakiamsha shangwe

Mtwara. Baraza la Madiwani Manispaa ya Mtwara Mikindani, limebatilisha uhalali wa umiliki wa kiwanja katika eneo la Shangani Mashariki linalotajwa kumilikiwa na mbunge wa Mtwara

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewahimiza Watanzania kuendelea kutunza na kuhifadhi mazingira ili kukabiliana na

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Rajab Abdul ‘Harmonize’ a.k.a Konde Boy au Jeshi amewapagawisha mashabiki kwa kuwaimba vionjo vya baadhio ya nyimbo zake

Mheshimiwa Dk Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John

Dar es Salaam. Ikiwa imepita miezi mitatu tangu Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa afariki dunia, mwandishi nguli wa masuala ya kisiasa amechapisha kitabu cha

NA MWANDISHI WETU,ZANZIBAR. KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC, Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo Khamis Mbeto Khamis, amewataka viongozi wa Chama Cha ACT-Wazalendo kuacha

NANI anafuatilia maendeleo ya Azam FC? Najua sio watu wengi. Ni wachache sana. Kwanini? Kwa sababu sio timu inayopendwa sana. Mashabiki wengi wa soka nchini