Mkuu wa Wilaya Siha, Kilimanjaro Mhe. Dkt. Christopher Timbuka, leo tarehe 23 Juni, 2024 amezindua rasmi msimu wa nne wa tamasha la West

Sheria hiyo ya msingi ilianza kutumika tarehe 23 mwezi Mei mwaka 1949, ambayo pia ni tarehe ya kuanzishwa kwa shirikisho la Ujerumani miaka 35 iliyopita.

Unguja. Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji imeainisha vipaumbele vyake ikiwemo kuratibu upatikanaji wa ajira za staha 3,500 nje ya nchi na

Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Kampuni ya Kijapan ya Saint Parts ya kutengeneza magari nchini imeipatia Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) injini

Unguja. Wakati wadau wa habari wakishinikiza Serikali kukamilisha mchakato wa sheria ya huduma za vyombo vya habari, yenyewe imesema umefikia hatua nzuri na umefika kwa

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 24,2024 Featured • Magazeti About the author

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiahidi kulitafutia ufumbuzi ongezeko la gharama za usafirishaji wa mizigo kutoka nchi za Ulaya na Asia kwa njia ya meli,

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano wa Uvuvi

Musoma. Wamiliki wa nyumba 49 zilizopo jirani na Uwanja wa Ndege katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara, wameiomba Serikali kuharakisha malipo yao ya fidia yanayofikia

Akizungumza na wananchi wa kata ya Mwaya na Mbuga ambao hivi sasa hawana mawasiliano na inawalazimu kutumia mtumbwi wa kuvutwa kwa kamba,Waziri Mchengerwa amesema kwa