Wakazi wa Kijiji cha Msomera, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga wamemshkuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan kwa maendeleo

WIZARA ya Maliasili na Utalii imejipanga vyema kuendelea kulijengea uwezo Jeshi la Uhifadhi nchini kwa njia mbalimbali ikiwepo ya utowaji wa mafunzo mengi na

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu kukabidhiwa gari lake lililokuwa limehifadhiwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Mkoa

SIMBA imetuliza presha kwa Kibu Denis ambaye imefanikiwa kumbakisha, lakini sasa kuna jipya tena na ikizubaa kidogo yule mido asiyechoka mithili ya mnyama punda atang’oka

Upishi wa kutumia kuni na mkaa kwa wakazi wa kijiji cha Msomera, wilayani Handeni Mkoa wa Tanga unakuwa ni historia mara baada ya wakazi hao

JUMAMOSI ya leo Meridianbet wametua pale Chamazi Magengeni kwaajili ya kutoa msaada wa vyakula kwa wakazi wa hapo hasa kwa zile familia ambazo zina

Mwanza. Watu wenye ulemavu wamelalamikia ukiukwaji wa Sheria ya Ajira inayoelekeza kampuni na mashirika kuajiri angalau wafanyakazi watatu wenye ulemavu kati ya 20 kuwa haizingatiwi.

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM Jumuiya ya Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) kwa kushirikiana na Shirikisho la Serikali za Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Tanzania

Lindi. Vijana zaidi ya 50 wamepatiwa mafunzo ya utengenezaji wa vihenge ili kukabiliana na sumu kuvu. Mafunzo hayo yametolewa na Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo

UMEPITA mwezi mmoja tangu kufanyika kwa mashindano makubwa ya dunia ya mbio za Boston Marathon nchini Marekani, ambapo mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay