Mwakilishi wa shirika la Ecopeace Women Initiative, Anastazia Magembe katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Barrick katika hafla ya kupokea msaada wa

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa iwapo jamii itapunguza matumizi ya pombe isiyo zimuliwa yaliyokithiri itasaidia kukabiliana na kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza. Waziri

Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha April 24 Katibu wa CCM Wilaya Kibaha Mjini , mkoani Pwani, Issack Kalleiya amehimiza kuunda kamati za uchumi kila kata na

WAKATI mashabiki wa Simba wakiendelea kulia na mastaa wa kikosi chao baada ya timu yao kukosa matokeo mazuri lakini upande wa pili umefichua juu ya

đź“Ś Majiko banifu kusambazwa Kaya za Vijiji na Vijiji-Miji đź“Ś Wazalishaji wa mkaa mbadala kupewa ruzuku Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt.

Mkoa wa Dar es Salaam umezindua rasmi zoezi la utoaji wa chanjo wa Saratani la mlango wa uzazi kwa wasichana mwenye umri kati ya miaka

Na Mwandishi wetu. MAHAKAMA ya Rufani leo imeshindwa kuendelea na usikilizwaji wa shauri la rufaa lililokatwa na Benki ya Equity Bank Tanzania Limited na Equity

Makumi ya miili zaidi imeopolewa kutoka kwenye kaburi la pamoja katika hospitali ya Khan Younis, kulingana na Kurugenzi Kuu ya Ulinzi wa Raia wa Gaza.

WATUÂ watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoani Pwani wakikabiliwa na mashtaka ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya Methemphetamine zenye uzito wa

BENKI ya Absa Tanzania imeendeleza udhamini wake kwa mwaka wa nne mfululizo katika mbio za Absa Dar City Marathon , ikilenga kuifanya Tanzania kuwa Taifa